CEREBRITY NEWS & GOSSIPS

SUMA LEE,BABU TALE NA BARNABA WAKIWA NDANI YA BBC SWAHILI BAADA YA KUWASILI LONDON

Barnaba,Suma Lee na Babu Tale baada ya kuwasili London kwa ajili ya kutoa burudani siku ya tarehe 22 katika ukumbi wa Stratford town hall,sasa hapo wapo katika ofisi za BBC idhani ya swahili na mtangazaji Charles Hillary wakifunguka kuhusiana na show hiyo.

 

 

  ALLY AMEGUNDUA KUNA WATU WANATUMIA JINA LAKE KATIKA KUTANGAZA KAZI ZA

Mbunifu wa Mavazi hapa nchini maarufu kama Ally Rehmtullah leo mchana kupitia katika ukurasa wake wa facebook aliweza kutoa ujumbe mfupi na kusema kwamba kuna mtandao unatumia jina lake katika kuwatapeli ma modeling wa hapa Tanzania.huu ndiyo ujumbe aliyoandika katika ukurasa wake na kuweka mtandano huo unaotumia jina lake katika kutangaza zao.
http://www.modelscooperation.wapka.mobi/index.html

 

 

JAY Z AMZAWADIA RIHANA GARI LA KIFAHARI KAMA ZAWADI YA X-MASS





 
ANGALIA HII SHOOT
 
BELLE 9 AKIWA NA NISHER DIR WA VIDEO

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAELVBewc83yb8USA1Sk-EgRyCCdY8bo6uQOcf33vlxTtfvePJxrkMolH9N-5YJ3y1px7zKn0wMAUpJqcsWhqaS5_Bgmez3S_pyuA7qksYv40HJBlYOvzRlS-ttDsMlPse-MB7VJItCfuw/s1600/IMG-20121220-WA0001.jpg
LORI LILILO FAIL BRAKE NA KUPARAMIA BASI LA SUMRY LILILOKUA LINAENDA TABORA HAJAFAHAMIKA NIWATU WANGAPI WAMEFARIKI DUNIA,AJALI HIIIILITOKEA JANA MCHANA KATIKA KILIMA CHA KITONGA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhl0CPs4Bg4mHdBm05OkfafD1m2Hg3h-VGcxSiRIjm0UUHNJReSsb9KjQRwoe7HLDcVEHXp3xp081G6CtlrZsF0rcsSIAM7BK93bZalj4g1SeDgv80YLCVs3pj3XGL1Oe9wN4ucj0XD1MQN/s1600/IMG-20121220-WA0000.jpg


MSANII MATUMAINI WA KAOLE YU MAHUTUTI, ANAHITAJI MAOMBI YENU WATZ
MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Tumaini Martin Mwakibibi ‘Matumaini’ anadaiwa yu mahututi nchini Msumbiji ambako alikwenda kwa ajili ya kufanya shoo akiwa na mchekeshaji mwenzake, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’.
Akizungumza na gazeti hili juzi jijini Dar, Herieth Chumila ambaye pia ni msanii, alisema alipokea taarifa za kuumwa kwa Matumaini kutoka kwa mtoto wake aishiye nchini humo na kumwomba msaada wa haraka kwa kuwa msanii huyo yupo katika hali mbaya.
Herieth alisema kwa sasa msanii huyo hawezi hata kutembea na mahitaji muhimu ya kibinadamu anayamalizia kitandani.
“Nilipata bahati ya kuongea na Matumaini ingawa kwa shida sana, aliwaomba Watanzania tumsaidie ili arudi nyumbani. Alisema ni bora aje kufia huku kuliko nchi za watu,” alisema Herieth.
Akaongeza: “Kwa yule ambaye ataguswa kumchangia awasiliane na mimi kwa ajili ya mchango ambao utamfikia Matumaini kule Msumbiji.”


"DAWA ZA KUKUZA MAKALIO ZILINIFANYA NIVIMBEVIMBE OVYO NA HIVYO NIKAAMUA KUACHA"......AUNT LULU



WAKATI wasanii wengi wa tasnia ya bongo movie wakishindwa kueleza ukweli wa mambo juu ya matumizi ya dawa za kukuza makalio na nyingi nezo wanazotumia, msanii wa filamu Lulu Mathias ‘Aunty Lulu, amekili kuwa alijaribu kutumia dawa za kuongeza makalio lakini baada ya kuona baadhi ya rafiki zake wanapata madhara aliamua kuacha.

Mwandishi wetu alimsaka hewani Aunt ili  kupata ukweli wa umbo la mwanadada huyo kama ni natural au la na baada ya kumpata, alifunguka na kudai alijaribu kutumia  dawa hizo za kukuza makalio lakini baada ya muda baadhi ya rafiki zake ambao walitumia wote walianza kupata madhara kwa kuvimba vimba hovyo kwenye makalio yao, kitu ambacho kilimpa uoga na kuacha kabisa kutumia dawa hizo ingawa aliweka wazi kuwa makalio yake ni makubwa tangu alipokuwa mdogo.

“Makalio yangu ni makubwa tangu nilipokuwa mdogo hivyo watu wanaposema kuwa nilitumia dawa za kuongeza makalio nawaona wajinga, ingawa  nilijaribu kutumia baada ya kuona madhara yake ya  kuvimba  ovyo kwa watu wengine niliamua kuacha kabisa,”
alidai.

BONGO MOVIE IMENIFANYA NIONEKANE CHANGUDOA"....AUNT LULU



MSANII wa filamu na ambaye pia aliwahi kuwa mtangazaji wa TV Aunty Lulu, amesema kuwa anajuta ni kwa nini alishawishika kuigia kwenye tasnia hiyo ya filamu kwani ni bora angeendelea na kazi yake ya awali, kwani huko kumemfanya aonekane kama changundoa wakati hayuko hivyo.

Tasnia ya filamu imekuwa ikiwaharibu vijana wengi hasa wakike wanaopenda kufanya kazi hiyo na mwisho wa siku wanaonekana kama wamepoteza muelekeo wa maisha, kutokana na anasa zilizopo ndani ya tasnia hiyo.

Aunty alisema kuwa awali kabisa alipenda kufanya kazi hiyo lakini kadri siku zinavyokwenda mbele anajiona wazi kuwa amebandilika na amekauwa na tabia chafu ambazo hazina mfano.

Alidai kuwa inawezekana hakujua namna ya kujipanga pindi alipokuwa anaigia kwenye tasnia hiyo, lakini sasa anaona wazi kuwa tayari ameshazama kwenye shimo na kutokana kwake ni vigumu kwani hayo ya sasa ndiyo maisha aliyozoea.

“Awali sikuwa hivi asa sijui hii ni kwa sababu ya kuingia kwenye filamu au vipi, lakini kuna matukio mengine nimeyafanya ambayo kwa kweli si mfano wa kuigwa,” alisema.

WEMA SEPETU AAMUA KUTOKA KIMAPENZI NA "SERENGETI BOY" ILI KUMUUMIZA DIAMOND PLUTNUM 

 


Wema Sepetu  ameamua  kuhamishia majeshi  yake  kwa  kiserengeti  boy  ili  kulipiza  kiasi  kwa X wake  wa zamani, DIAMOND.....

Huyu  ni  Haidary Cavilla  ambaye  ni mchumba  wa  miss  Tanzania namba  2 ,mwaka  2000, aitwaye  Mercy Galabawa....

Kama kawaida, jamaa  ni  mdogo kiumri akilinganishwa na Wema, lakini  inasemekana  kwama  Haidary  anamiliki  mkwanja mrefu  ulioichanganya  akili  ya  Wema Sepetu  hasa  baada  ya  kununuliwa gari aina  ya Audi Q7.....


Picha  hizi  zilipigwa  nyumbani  kwa wema  sepetu na  hatimaye  kuvuja  mitandaoni,hali inayoashiria  kulipiza  kisasi kwa Diamond  baada  ya kunaswa  akiwa  na  Penny....

  Wema sepetu ni mrembo anayekabiliwa na   skendo  chafu ya kubadiliwanaume kama  nguo.Alianza na..

1.HERRY SAMIR
2.KHALEED MOHAMED
3. Marehemu STEVEN KANUMBA
4.JUMBE YUSUPH  JUMBE
5.CHARLES GABRIEL
6.DIAMOND PLUTNUM
7. CLEMENT  ( Bado  wako pamoja)
8. HAIDARY CAVILLA
Na wengineo......       

PICHA ZA LULU MICHAEL AKIWA HURU URAIANI..... 

 Lulu (katikati) akitoka eneo la mahakama baada ya kukamilisha dhamana yake.
Lulu akiwa ndani ya gari baada ya kukamilisha dhamana yake.
Kutoka kushoto ni mama mzazi wa Lulu Lucresia Karugila, wakili wa Lulu bwana Kibatala na Dk. Cheni wakijadili jambo wakati wakisubiri dhamana ya Lulu.
Lulu akiingia katika chumba cha msajili wa mahakama ili kukamilisha dhamana yake.
Gari lililombeba Lulu likiondoka mahakamani.
Lulu akishuka katika gari la polisi baada ya kuwasili mahakamani leo.
Lulu akiongea na wanahabari (hawapo pichani) baada ya kupata dhamana leo.
 --------------------------------
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo imemwachia kwa dhamana msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya kumuua msanii mwenzake wa filamu Steven Kanumba Aprili 7, 2012 bila kukusudia baada ya kukamilisha taratibu zote za dhamana.

 

 "NIMEANDAA FILAMU MPYA AMBAYO NITAMSHIRIKISHA LULU MICHAEL"....JACKLINE WOLPER 

MSANII wa filamu Tanzania Jackline Wolper ameandaa filamu mpya atakayoshirikiana na  msanii maarufu Elizabeth Michael 'Lulu' itakayokamilika hivi karibuni baada ya msanii huyo kutoka gerezani kwa dhamana

Akizungumza na Maisha Wolpa alisema amepata faraja baada ya taaratibu na sheria kufuatwa na hatimaye Lulu kuweza kupata dhamana hivyo anatarajia kufanya naye kazi ya filamu mpya itakayoanza kurekodiwa baada ya msanii huyo kufika uraiani

Alisema kuwa anatarajia atafanya vizuri katika filamu hiyo kwani tangu awali alikuwa akifanya vizuri katika tasnia hiyo ya uwigizaji kabla ya kupatwa na matatizo

"Nimeshampokea Lulu tangu moyoni mwangu kwani kule alikokuwepo si sehemu nzuri na ukiangalia bado ni mtoto mdogo hivyo inaumiza sana" alisema Wolper

Filamu hiyo ndiyo itakayokuwa ya kwanza kuchezwa na Lulu baada ya kufika Uraiani

Wakati huo huo Rose Ndauka alisema ni wakati wa wasanii kumpokea mwenzao kwani wote ni familia moja na wanahitaji kushirikiana katika kila hali

Alisema kuwa ukiangalia umri wa msanii huyo ni mdogo hivyo ananafasi kubwa bado ya kutengeneza maisha yake na kuangalia wapi amekosea na wapi anapaswa kurekebisha

Naye msanii Single Mtambalike 'Richie Richie' alisema anashukuru kuona sheria imechukua mkondo wake na hatimaye sasa ameweza kuachiwa kwa dhamana hivyo kwa upande wao ni faraja kubwa kwani wote ni familia moja

Alisema anaamini sasa ataweza kujipanga na kufanya kazi vizuri kwani anakipaji na bado wanamuhitaji watanzania kulingana na uwezo mkubwa alionao kwenye tasnia hiyo




HATIMAYE KITALE KUOA JUMAPILI HII 

 

Msanii wa Filamu hapa nchini hasa za uchekeshaji maarufu kama kitale baada ya kupata maswali mengi sana kwa mashabiki wake,sasa jumapili hii anatarajia rasmi kupata jiko au lugha fasaha anatarajia kuoa.
Kwa mujibu wa Kitale alisema japokuwa amepitia katika changamoto mbalimbali za ki maisha na amejifunza mengi na ndiyo sababu ya kuvuta jiko.


RIHANNA ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA ARUDISHE PENZI LAKE KWA CHRISS BROWN




Rihanna amefunguka mengi kuhusu uhusiano wake na Chris Brown na kuweka wazi kwanini aliamua kumpa second chance.


“Niliona  ni muhimu zaidi kwa mimi kuwa na furaha, “ aliliambia jarida lijalo la Rolling Stone. “Sikutaka kuacha mtazamo wa mtu yeyote hata kama ni kosa, ni kosa.”

Katika toleo hilo litakalotoka kesho, Rihanna ameelezea vitu vilivyobadilika kati yao.

“Unatuona tukitembea sehemu, tukiendesha sehemu, tukiwa studio, tukiwa club, na unadhani unajua. Lakini ni tofauti sasa. Hatuna majibizano kama ya zamani tena. Tunaongea kuhusu mambo. Tunathaminiana. Tunajua fika tunachokataka sasa na hatutaki tukipoteze.”


NIKKI MBISHI AWAKERA MASHABIKI WAKE BAADA YA KUWEKA PICHA KATIKA MTANDAO

Msanii wa Hip Hop maarufu kama Nikki Mbishi leo jioni baada ya kuweka picha ambayo iliweza kukera watu wengi  huku wengine wakijiuliza maswali mengi juu ya picha hiyo lakini hawakuweza kupata jibu juu ya picha hiyo kwamba alikuwa anamaanisha nini.





PICHA: HII NDIYO VIDEO YA NGOMA MPYA YA MWANA FA KUTENGENEZWA HAPA KUFANYIWA EDITING NCHINI SOUTH AFRICAN

Siku za hivi karibuni baada ya Mwana FA kufunguka katika mtandao na kusema kwamba anatarajia kwenda nchini South African kufanya video wa wimbo wake mpya ambao ameshirikisha band kongwe inayofahamika kwa jina la Kilimanjaro Band na Domokaya,Mandojo.
Sasa leo mchana chini ya director Karabani pamoja na Mwana FA walikuwa wakifanya shooting wa wimbo huo mpya ambao soon mwana FA anatarajia kuipelekea video hiyo nchini South Africa kwa ajili ya editing kama ilivyoripotiwa na watu wa God Father ambao watahusika katika kuifanyia editing video hiyo mpya.



                                                  Mwana FA,Bill na Domokaya
                                                                   Mandojo
                                                                   Domokaya   

 

DIAMOND AMKAMATA MMOJA WA WACHAWI WAKE

                           
 Zikiwa zimepita siku 29 tangu alipofanyiwa vurugu za kutosha, wakati wa show yake aliyokuwa akiifanya ndani ya Maisha Club, na kusababisha watu kadhaa kuumia, chupwa kurushwa na mayai viza kurushwa, huku akiachwa bila ya cheni, saa wala miwani alizokuwa amezivaa na kuambulia boooooo kibao, siku ya jumamosi Diamond alipokuwa akielekea Kigamboni kwenye show aliyokuwa anaifanya huko akiwa na msanii Z Anto, alifanikiwa kumkamata mmoja wa walioanzisha vurugu hizo, akiwa ndani ya pantoni nae akielekea kigamboni

JUSTIN BIEBER AMPAPASA MAZIWA SHABIKI WAKE WAKATI WA MEET AND GREET

What a handful: Justin Bieber poses for a cheeky shot with a fan as he cups her breast during a Miami meet and greet session 
anaonekana slow by slow akiupa mgogo u good boy aliokuwanao kama kijana mdogo tangu aingie kwenye game ya mziki.
na sasa Bieber mwenye miaka 18, anaonekana kuendelea kuvuka mipaka zaidi na zaidi hasa upande wa mashabiki wake.
baby boy hit maker ameonekana akiopapasa nyonyo ya shabiki wakati wa  "meet and greet session, Miami siku ya juma tatu.kilichoshangaza zaidi ni pale ambapo watu walidhani shabiki huyo atashtuka au kukasirishwa na kitendo hicho, lakini badala yake alionekana kutokushtuka na hata kumpa bonge la smile

SI BURE NDO MAANA ANAONDOKA: STRIKER WA MAN CITY MARIO BALOTELLI AMEKUBALI DILI LA PAUND M 20 NA AC MILLAN MASAA KADHAA BAADA YA MSHAMBA MMOJA WA MAN U KUSHUSHA KOJO KWENYE GARI LAKE

Leaked picture: This Manchester United fan was snapped having a pee on Mario Balotelli's Bentley
shabiki wa  Manchester United akikojolea gari la Balotelli
   Mario Balotelli tayari kuelekea AC Milan baada ya Manchester City kukubali dili la m 20 na club ya Italy, jana mchana.City wamekubali ofa ya £17 million kutoka kwa AC Milan huku kukiwa na nyongeza ya £2.5m itakayotolewa kulingana na mafanikio ya mchezaji.

 Balotelli pia amesadia dili hilo kukamilika baada ya kukubali kukatwa kiasi cha £1m ili aweze kujiunga na klabu yake ya utotoni kwa mkataba wenye thamani ya £3m.
habari zimeibuka masaa kadhaa baada ya shabiki wa manchester united kukamatwa akikojolea gari la Baloteli aina ya Bentley, lenye thamani ya pound 160,000
Taking the pee: The fan stumbled across the car outside Manchester's trendy Indian restaurant Zouk 


Picha hizi zinaripotiwa kupigwa jumapili usiku, zinamuonyesha shabiki wa shabiki huyo akishusha kojo upande wa mlango wa dereva, wakati striker huyo (22) akiwa anapata msosi na marafiki zake, katika restaurant ya wahindi inayoitwa Zouk.
  Tetesi za kuondoka kwake, zimezuka zaidi leo hii, baada ya  kudaiwa kufanya party ya kuondoka kwake katika jumba alilopangisha, lenye thamani ya paund milioni 3, lililopo Cheshire.

Ride and joy: Balotelli posing alongside his camouflaged Bentley and quad bike in a matching jacket 
Inasemekana Balotelli aligawa kila kilichochake na kuwaomba wasichukue chupi zake tu



VITUKO VYA WASANII.....MKONO MMOJA KIUNONI, MWINGINE ...????!



Wasanii  wetu   wanavituko.....Huyu  ni mshiriki  wa BBA akiwa  na  binti yake  huku  wakifanya  "michezo ya  kikubwa  hadharani"  bila kujali  kuwa wao  ni mwongozo wa  jamii.....

Kitendo  cha binti  kuchezewa ny*ti zake  hadharani kina  majibu  mengi....Sihukumu kwamba  ni  kahaba, lakini,ukweli  ni kwamba huyu  ni "jamvi la wageni"
 
 
 

No comments:

Post a Comment