Staa
Sumalee wa bongo fleva aliibiwa gari lake kama miezi miwili iliyopita
ina ya Land Cruiser ambayo anadai gharama yake inakaribia milioni 70,
ameongea exclusive na millardayo.com na kuamplfy kwamba kuanzia sasa
hivi hatonunua tena magari ya thamani kubwa, mpango wake ni kununua
Carina Ti tatu kwa ajili ya shughuli zake na hapo atakua amefunga kazi
ya magari.
No comments:
Post a Comment