Fahamu kuwa Rapper Rick Ross anampango wa kutoa album hii mwaka
2013 na itaitwa Mastermind.
Pia kwenye habari nyingine kuhusu
Rickross ,kwa sasa star huyu
anashiriki katika tamthilia ya Umafia inayo tengenezwa Mjini Miami,
Marekani. Kwenye Tamthilia hii ya Magic City inayo weka wazi matendo ya
Mafia yaliyo fanyika Miaka ya 1950, Rozay anaingia kwenye
season ya Pili na anavaa husika wa Bolita Boss.
Kazi na matendo ya Boss huyu ni Mauwaji na Ujambazi na msemo wake
kwenye Tamthilia Hii ni "God is good... Until he ain't,"
Hii Ni Picha Kutoka kwenye Kipande Cha Tamthilia Hio
No comments:
Post a Comment