Wednesday, January 2, 2013

MREMBO AMWAGIWA MAJI YA MOTO BAADA YA KUFUMANIWA NA MPENZI WA RAFIKI YAKE....


Binti  mmoja  aliyejulikana  kwa  jina moja la Winfride  amejikuta akiuga  vibaya  mwaka  baada  ya  kumagiwa maji ya moto  na rafiki yake  wa kike.......

Ugomvi  huo ulizuka baada  ya huyo rafiki  yake  kumfuma  mara kadhaa  Winfride  akila bata  na  BOYFRIEND  wake.....

Hakika  mapenzi ni unyama.......Ni imani yetu kuwa sheria itatenda haki  kwa Winfride

No comments:

Post a Comment