Thursday, September 5, 2013

SABABU ZINAZOWAFANYA WANAUME KUGEUKA WANAPOPISHANA NA MWANAMKE

Natumaini mu wazima wa afya njema.
hili ni swali linalonitatiza kila siku ni sababu zipi zinazopelekea mwanaume kugeuka na kumwangalia tena mwanamke mara tu wanapopishana mfano njiani
je ni sababu zipi zinazopelekea kutokea na
kuendelea kwa hali hiyo?

No comments:

Post a Comment