Thursday, February 7, 2013

VITUKO VYA WASANII.....MKONO MMOJA KIUNONI, MWINGINE ...????!



Wasanii  wetu   wanavituko.....Huyu  ni mshiriki  wa BBA akiwa  na  binti yake  huku  wakifanya  "michezo ya  kikubwa  hadharani"  bila kujali  kuwa wao  ni mwongozo wa  jamii.....

Kitendo  cha binti  kuchezewa ny*ti zake  hadharani kina  majibu  mengi....Sihukumu kwamba  ni  kahaba, lakini,ukweli  ni kwamba huyu  ni "jamvi la wageni"

No comments:

Post a Comment