Jaffarymes
amesema kuwa kwa sasa ameamua kujipiga na kununua vifaa hivyo ili
aweze kuendelea kutumia gari lake hilo aina ya Harrier katika mishe
mishe zake za kila siku kutokana na kulipaki muda wote akiwa
anasubiria uwezekano wa kupata mali zake.
Itakumbukwa
kuwa msanii huyu alipatwa na maswahiba haya huko mitaa ya Kijitonyama
ambapo ndipo kwao siku ya Ijumaa, na hadi kufikia leo na siku
zinazoendelea, matumaini ya kumdaka mwizi ndiyo yamekuwa yakizidi
kuyoyoma.
No comments:
Post a Comment