ASKARI ALIYEPIGA PICHA NA GODBLESS LEMA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MINNE JELA
Abubakari
Kikulu (29), alipiga picha na mbunge huyo Desemba 23 mwaka jana, baada
ya Lema kumaliza kuhutubia mkutano wa hadhara eneo la Mererani, ikiwa ni
sehemu ya mikutano aliyoifanya kutokana na Mahakama ya Rufani Tanzania
kumrejeshea ubunge wake.
No comments:
Post a Comment