Rapper na Producer wa Kundi la Pa 1
`Nah Real' amekaririwa na sammisago.com Leo 10:00 Am, 7 Jan 2012 akisema
hawezi kuthibitisha kwamba kundi hilo limevunjika ila kwa sasa hawana
maelewano mazuri ndani ya kundi na kazi za Pa 1 zimesimamishwa kwa
sasa.Yeye kama msanii hawezi kusema Kundi limevunjika mpaka Management
ya Kundi itoe tamko. Pia Nah Real amekata kutaja sababu za kutokuelewana
ndani ya kundi la Pa 1 sababu hizo zinaweza kurekebishwa.
![]() |
| Pah One |

No comments:
Post a Comment