Wednesday, December 26, 2012

#FAHAMU KUHUSU BEEF YA CANNIBAL NA PREZZO.#



Rapper wa Kundi la MMG `Makini Music Group' Cannibal aliweka wazi weekend hii kuwa anajitoa MMG kupitia ukurasa wake wa Facebook.Leo mchana kwenye Power Jams Ya East Africa Radio ,Cannibal amefunguka kuwa habari hizo sio za kweli na ukurasa wake wa Facebook uliingiliwa na watu na kutumiwa vibaya.Pia Cannibal alisema bado yupo na Prezzo kwenye MMG.

No comments:

Post a Comment