Wednesday, December 26, 2012

SIMON COWELL ANAVYO WALETA KARIBU CHRIS BROWN NA RIHANNA.


Judge wa vipaji nchini Marekani Simon Cowell Ameweka wazi mpango wa kumchukua Rihanna na Chris Brown kwenye show za X Factor mwakani.Simon anaamini Rihanna na Chris watapamba sana show hizo kama watakubali ku Judge mashindano hayo sehemu tofauti. Rihanna atafanya show za Uingereza na Chris Brown atafanya show za Marekani.Chris Brown ataziba pengo la Judge Reid anaye semekana kumaliza mkataba wake siku za karibuni. Pia nafasii itawapa wasanii hawa uzoefu zaidi kwenye kugundua vipaji ili baadae waweze kuja kuwa na wasanii wao kwenye lebel zao kama Kanye West na Jay z.

No comments:

Post a Comment