Ukiachilia mbali suala zima la kutupia ulimi pale kati, mixa ming’aro ya ziada kiasi cha kumpiga jeki yule asiyekuwa na mauzo ya kutosha…. Leo namdondosha kwenu ‘HANDSOME’ ambaye yeye binafsi anaamini anashine bila bling bling kwasababu ana Mwili na Sura nzuri na hii ni tangu enzi za analogi hadi digito (SWAGGA)
Anaitwa Dully sykes au Prince Dully sykes a.k.a Blazameni Dully a.k.a Mr Misifa ambaye ametuibukia pande hizi ili kuturimaindi kuhusu Historia ya huu mziki wetu wa Bongo Flava.
No comments:
Post a Comment