Mashabiki wa chadema wazuia kabisa sugu asipite na ashuke eneo hilo |
Hakika mweshimiwa mbunge wa mbeya mjni Joseph Mbilinyi ameshuka kwa hasira toka katika gari yake ili aongee na wafuasi wa chadema |
Baada ya kushuka na kukutana nawafuasi wake wa chadema na kutaka sasa kuongea nao.
Sasa naombeni njia nirudi zangu home kwani nimechoka nimetoka kikaoni wapendwa acheni fujo naombeni niachieni njia niende |
Jamaa wamekubali wamemwachia njia ila bado wamedadia gari |
Sugu huyooo anaenda zake |
No comments:
Post a Comment