| Mashabiki wa chadema wazuia kabisa sugu asipite na ashuke eneo hilo |
| Hakika mweshimiwa mbunge wa mbeya mjni Joseph Mbilinyi ameshuka kwa hasira toka katika gari yake ili aongee na wafuasi wa chadema |
Baada ya kushuka na kukutana nawafuasi wake wa chadema na kutaka sasa kuongea nao.
| Sasa naombeni njia nirudi zangu home kwani nimechoka nimetoka kikaoni wapendwa acheni fujo naombeni niachieni njia niende |
| Jamaa wamekubali wamemwachia njia ila bado wamedadia gari |
| Sugu huyooo anaenda zake |
No comments:
Post a Comment