BAADA ya kufanya vizuri katika uzinduzi wa filamu yake mwanadada
Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameonekana kumvutia sana mwanamuziki Judth
Wambura ‘Lady Laydee’ na kuamua kuandaa Onyesho litalaowakutanisha
pamoja na kuimba katika jukwaa moja na kuimba wimbo maalum wa Yahaya.
.
Lulu siku ya uzinduzi wa filamu yake ya Foolish Age aliweza
kuwashangaza waarikwa waliohudhuria show baada ya kuimba wimbo wa Yahaya
sambamba na Anaconda na kushangiliwa na umati wa wapenzi wa filamu
wanakutana tena na kuimba kwa mara nyingine.
Lady Jaydee na Machozi Band wakishirikiana na msanii mwarikwa Lulu
watafanya bonge show kesho siku ya Ijumaa katika viwanja tulivu vya
Nyumbani Lounge ni show ya Ladies Nite nyote mnakaribishwa.
No comments:
Post a Comment